Tuesday 16 June 2015


Upigaji wa Punyeto au Kujichuwa, ni tatizo kuwa sana kwa watu wengi na haswa vijana, ambao bado hawajaoa, vijana ndio wanaokabiliana kwa hali ya juu kabisa na vishawishi vinavyowazunguka katika jamii mbalimbali wanazoishi. 

Kupiga Punyeto au Kjichua wanaume au kujisaga wanawake ni jambo linalonyika sana katika jamii zetu mbalimbali. 
Na hata jumuiya au mashirika ya kupiga vita magonjwa ya zinaa kama vile Ukimwi, yamekuwa yakiwashawishi vijana au wale wote ambao wanataka kuingia kwenye maswala ya ngono watumie mipira au wapunguze matamanio yao kwa kupiga Punyeto/kujichuwa.

Idadi ya waathirika ni kubwa, janga ili si kwa vijana wa kiume na kike au makapera bali hata wazee na hata waliooa/kuolewa wamejikuta wakishindwa kuacha kabisa tabia hii.

Tatizo la upigaji wa Punyeto au Kujichuwa ni Kubwa na uchukuwa muda mrefu sana kwa aliyeacha kurudi kwenye hali ya kawaida, na wakati mwingine uwa ni tatizo la kudumu.

Sote tunakubaliana kuwa ngozi ya kwenye mikono ni tofauti kabisa na njia ya uzazi ya mwanamke, ngozi ya mkono ni ngumu na haina maji maji, ukilinganisha na uke.

Aliyezoea upigaji punyeto umwia vigumu sana kusimamisha anapokutana na mke wake na hata ikitokea kusimamisha basi ni pale alipovuta hisia na uku akijichuwa hali hii umfanya mwanaume kumaliza mshindo ndani ya dakika zisizozidi mbili tu.
Ndoa nyingi zimeingia kwenye matatizo yasiokwisha haswa kwa mume kutoweza kumtoshereza mke/wake zake katika tendo la jimai.

Hali hii upelekea kwa waathirika wa kupiga punyeto kushindwa kuwaridhisha wake zao na hata wakitakiwa kuendelea raundi ya pili wanakuwa hoi, na kushindwa kuendelea, matokeo yake ni ugomvi ndani ya nymba.

Wanaume wengi wamekuwa wakiacha wake zao, kwa kufikiria kuwa maeneo au tupu za wake zao zimekuwa chapwa, kumbe tatizo ni la wanaume wenyewe kwa kutoweza kuwa na hisia kwenye viungo vyao vya uzazi. Hali hii inatokana na kule kujichuwa kwa kutumia mikono, kiasi cha kuuwa hisia za kawaida ambazo mwanamume anapaswa kuwa nazo kwenye uume wake.

Lakini kwa kutokujua kwao kuwa wameviathiri viungo vyao kwa upigaji punyeto wa muda mrefu na matokeo yake kushindwa kuhisi hali ya ujoto na m’bano wa viungo vya uzazi vya mwanamke.

Hali hii inapojitokeza, wanaume wengi uhamua aidha kutafuta mke mwingine na mwingine na mwingine… Na kila anapoowa hali inakuwa ni ile ile, kwa sababu uume wake umekwisha athirika na upigaji wa punyeto wa muda mrefu.

Wengine ufikia kuvuka mipaka na kuwalazimisha wake zao kuwaingilia kinyume na maumbile, hii yote ni kutafuta kujiridhisha kingono. 
Na mwisho wake ni kutoka nje ya ndoa na kupata maradhi ya ngono kama vile Kaswende, kisonono, gonoria na hata Ukimwi.

Upigaji wa Punyeto, uathiri mwili kwa kiwango kikubwa sana, kesi nyingi zimeripotiwa kama kupatwa na saratani kwenye viungo vya uzazi kama vile Korodani (prostate-cancer). Mgonjwa uwa ni mwenye kwenda haja ndogo mara kwa mara haswa kipindi cha usiku, na upata maumivu kila anapokwenda haja ndogo. Na mkojo na manii ya mwathirika uchanganyika na damu.

Matatizo wanayoyapata waathirika wa upigaji punyeto au kujichuwa uchukuwa muda mrefu sana kurudi kwenye hali ya kawaida, na wakati mwingine uwa ni matatizo ya kudumu.

Baadhi ya madhara ya Waathirika wa Upigaji Punyeto na Kujichuwa.

  • Kupiga Punyeto Kunapelekea kufika mshindo kabla na bila kujijua na husababu matatizo ya Nguvu za Kiume.
  • Kutokwa na manii usingizini bila kujijuwa.
  • Maumivu ya mgongo.
  • Punyeto usababisha udhaifu wa mwili.
  • Kuwa na sura ya ujuvi.
  • Udhaifu wa Macho, kutoona vizuri.
  • Nywele Kutokuwa na Afya.
  • Kupungua uzito chini ya kiwango.
  • Uchovu na udhaifu wa mwili, wa mara kwa mara 
  • Kupata maumivi kwenye kinena.
  • Maumivu kwenye mapumbu.
  • Mbegu za uzazi kuwa dhaifu.
  • Kutosikia raha ya mapenzi/jimai.
  • Kupungua kwa hamu ya kula.
  • Matatizo ya kusimamisha.
  • Kupotea/kutosikia njege.
  • Kufikia mshindo mapema, dakika moja hoi.

1 comment:

  1. Kwa ushauri na njia za kupunguza na hatimaye kuacha kabisa kuangalia picha za porngraphy na kupiga punyeto au masterbation kwa vijana wenzangu na pia namna ya kurudisha nguvu za uume zilizopungua kwa tiba ya vyakula, please tuwasiline #usharinasaha18@gmail.com

    ReplyDelete

Je Una Nasaha zozote Kuhusiana na Makala hii?

RAMADHAN KARIM

Read

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!